Mfalme Salman wa Saudi Arabia amemkaribisha mkuu wa kanisa la kikatoliki la madhehebu ya Maronite nchini Libnan, kardinali Beshara Rai// Kikao cha kesi ya urais inayopinga kuchaguliwa kwa rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kimeanza leo// Leo ni siku ya kimataifa ya kuhamasisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa kisukari.