1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.11.2016- Taarifa ya habari asubuhi

Isaac Gamba
14 Novemba 2016

Tuliyo nayo ni pamoja na : Rais Mteule wa Marekani Donald Trump apanga kuwafukuza wahamiaji wanaoishi nchini humo kinyume cha sheria// Ujerumani yaendelea na mchakato wa kumpata mrithi wa Rais wa sasa Joachim Gauck//Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wakutana kujadili mustakabali wa Umoja huo na Marekani.

https://p.dw.com/p/2Se6x