1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.09.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S14 Septemba 2017

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka usitishwaji wa machafuko katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar// Urusi leo hii imeanza mazoezi makubwa ya pamoja ya kijeshi na Belarus katika eneo la mashariki mwa Ulaya// Ofisi ya umoja wa mataifa inayo husika na haki za binaadam Burundi ilishambuliwa usiku wa kuamkia leo.

https://p.dw.com/p/2jxQd