1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.08.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S14 Agosti 2017

Watu 18 wauawa katika shambulio Burkina Faso/ Aliyewahi kuwa naibu kiongozi na msemaji wa kundi kundi la wanamgambo wa Al Shabaab la Somalia amejisalimisha kwa serikali ya nchi hiyo> Mahojiano/ Kenya: Hali katika Nairobi inatajwa kurejea katika ukawaida wake licha ya wito wa kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwataka wananchi kugoma kwenda kazini hivi leo

https://p.dw.com/p/2iBRf