Nchini Rwanda, wagombea wa nafasi ya urais leo hii wanaanza kampeni rasmi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa taifa hilo unaotarajiwa kufanyika Agosti 4// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameshiriki katika gwaride la jadi la Julai 14-siku kuu ya taifa ya ukombozi wa Bastille mwaka 1789, pamoja na rais wa Marekani Donald Trump.