Nchini Rwanda zimeanza kampeni za uchaguzi wa Rais// Suala la Usalama nchini Kenya limeanza tena kuzusha maswali// Kampuni ya uchimbaji madini Acacia inayoendesha pia shughuli zake nchini Tanzania imekubali kuongeza malipo yake ya mrahaba kwa serikali ya nchi hiyo.