Michuano ya kombe la dunia la kandanda inaanza leo mjini Moscow nchini Urusi> Mahojiano/ Siku ya bajeti katika mataifa matatu ya Afrika mashariki: Tanzania, Kenya na Rwanda/ Ujerumani: Mgogoro kuhusu sera ya uhamiaji unazidi kuleta taharuki kati ya Kansela Merkel na waziri wake wa mambo ya ndani/ Waislamu wako kwenye maandalizi ya siku kuu ya Eid el-Fitr