Majeshi ya Marekani jana yalishambulia mfumo wa njia za chini ya ardhi za kundi la Dola la Kiislamu mashariki mwa Afghanistan, kwa kutumia kile ilichokiita "mama wa mabomu yote", ikiwa ni bomu kubwa kabisa duniani licha ya kwamba si la silaha za kinyuklia// Mzozo kati ya Marekani na Korea ya kaskazini unazidi makali.