Kansela Angela Merkel anaanza mhula wake wa nne madarakani bila ya uungaji mkono kamili wa wabunge wa vyama vinavyounda serikali ya muungano //Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza hatua kadhaa dhidi ya Urusi, ikwemo kuwafukuza wanadiplomasia 23 wa nchi hiyo