Wakati Tanzania ikionekana kuwa iko kwenye vita vikubwa dhidi ya madawa ya kulevya, mwandishi wa habari mkongwe nchini humo, Jenerali Ulimwengu, anasema hakuna jipya la kuwashangaza watu// Zaidi ya watu milioni 12.2 wamejisajili kwenye bima ya afya ya Obamacare nchini Marekani// Wizara ya afya ya Uganda inapendekeza kuwezesha watoto kuanzia umri wa miaka kumi kutumia huduma za mpango wa uzazi.