14 wauwawa Irak
9 Septemba 2007Matangazo
BAGHDAD:
Si chini ya wairaki 14 wameuwawa katika hujuma 2 mbali mbali asubuhi ya leo katika miji ya kaskazini ya Kirkuk na Tikrit-polisi imearifu.
Na katioka kijiji kiliopo kusini-magharibi mwa Kirkuk, na km 250 kaskazini mwa mji mkuu baghdad, vikosi vya Irak vilivurumisha makombora katika kundi la waasi na kuwaua 7 kati yao.Vikosi hivyo vilisaidiwa na vile vya Marekani.
Katika tokeo jengine, Irak na majirani zake Iran na Syria walkikuwa n a mkutano mapema leo asubuhi wa nc hi hizo jirani kuzungumzia hasa matatizo ya mkoa huo pamoja na yale ya nishati,usalama na ya wakimbizi wa Irak.