1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.12.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S13 Desemba 2017

Viongozi wakuu wa mataifa ya Jumuiya ya Nchi za Kiislamu, OIC, wameitaka Marekani kufuta mara moja uamuzi wake wa kuutambua mji wa Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macro amesema Saudi Arabia imeahidi kima cha dola milioni 100 kwaajili ya kikosi cha kupambana na ugaidi katika Ukanda wa Sahel Magharibi mwa Afrika, kinachojumuisha nchi tano.

https://p.dw.com/p/2pJuW