Madai ya maafisa wa sheria katika jimbo la Saxony hapa Ujerumani kuwa walifanya kila wawezalo kumzuia mshukiwa wa Ugaidi Jaber al Bakr kujiua// Kundi la kigaidi la Boko Haram limewaachilia huru wasichana 21 waliotekwa nyara// Serikali ya Kongo imelezea kwamba hali ya kisiasa nchini humo siyo mbaya// Wajumbe zaidi ya 1000 kutoka mataifa 197 wameanza kongamano la mazingira mjini Kigali.