1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.07.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Julai 2017

Rais wa zamani aliyeipatia Brazil umaarufu katika jukwaa la kimataifa amepatikana na hatia ya kupokea rushwa na utakatishaji fedha// Rais wa Marekani Donald Trump amewasili mjini Paris Ufaransa kwa ziara rasmi// Vikosi vya serikali nchini Rwanda vimewauwa takriban watu 37 waliokuwa wanatuhumiwa kwa kufanya vitendo vya wizi mdogo mdogo.

https://p.dw.com/p/2gTz2