Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani Rex Tillerson amesema mahusiano kati ya Marekani na Urusi yamefikiwa kiwango cha chini // Urusi imetumia kura ya turufu kulipinga azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Syria // Aliyekuwa Rais wa Iran Mahmoud Ahmadinejad amewasilisha nyaraka kugombea uchaguzi wa rais wa mwezi ujao