Ofisi ya mwendesha mashitaka mkuu wa shirikisho, inawaandama watuhumiwa wawili wa itikadi kali kwa dhana za kuhusika na shambulio la jana usiku dhidi ya basi la timu ya ligi kuu ya Ujerumani Borussia Dortmund// Mwanadiplomasia mkuu wa Urusi leo hii ameituhumu Marekani kwa kufanya shambulio baya dhidi ya vikosi vya Rais Bashar al Assad wa Syria.