1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.03.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S13 Machi 2018

Rais Donald Trump wa Marekani amemfuta kazi waziri wake wa mambo ya kigeni, Rex Tillerson na kumteuwa mkuu wa sasa shirika la ujasusi, CIA, Mike Pompeo, kuchukuwa nafasi yake// Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kupitia baraza lake la wazee la taifa , kimemtaka rais john Magufuli kukutana na wazee katika kikao cha pamoja ili kujadili mustakabali wa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/2uG0o