Syria: Wapiganaji wa Kikurdi wanaoungwa mkono na Marekani wanapata msaada usio wa moja kwa moja kutoka kwa upande usio rasmi katika mapambano yao dhidi ya vikosi vya Uturuki/ Cameroon: Rais Biya anaesherehekea miaka 85 ya kuzaliwa katika wakati ambapo changamoto kuhusu usalama zinazidi kuongezeka katika nchi itakayoitisha uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2018/ Kenya: Teknolojia la Hydroponics