Waandamanaji wameteremka majiani katika kila pembe ya Marekani kwa siku ya pili kulalamika dhidi ya kuchaguliwa Donald Trump kuwa rais wa Marekani// Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, umeanza ziara yake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Kenya inatarajia kuingia katika kitabu cha kumbukumbu cha Guiness Book of Records kwa kupanda miche milioni 5 ya miti.