1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.10.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S12 Oktoba 2016

Bunge la Burundi limepiga kura hii leo na kuupitisha muswada wa sheria uliyowasilishwa na serikali kwa nchi hiyo kujiondoa uwanachama wa mahkama ya kimataifa ya uhalifu ICC// Kansela Angela Merkel amemkaribisha kwa heshima za kijeshi, rais Idriss Deby wa Tchad// Mataifa matatu ya Jumuia ya Afrika Mashariki yamezindua visa ya pamoja itakayoimarisha utalii katika jumuia hii ya Afrika mashariki.

https://p.dw.com/p/2RAIO