1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.09.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S12 Septemba 2017

Vyama vya wafanyakazi nchini Ufaransa leo vimeanzisha migomo na maandamano makubwa nchini humo kupinga sera za Rais Emmanuel Macron za kufanya mageuzi katika sheria za ajira// Serikali ya Tanzania imetakiwa kuwekeza kwa watu wake bila kujali gharama zitakazotumika ili waweze kusimamia vyema rasilimali ya mafuta na gesi.

https://p.dw.com/p/2jpCk