Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani, Rex Tillerson yuko ziarani nchini Misri// Raia wa Afrika Kusini wanataka kumalizika mkwamo wa kisiasa nchini humo// Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limesema kuwa litaelekeza nguvu zake katika kudhibiti dawa bandia na zile zisio na viwango barani Afrika.