Umoja wa Mataifa umemshutumu rais wa Marekani Donald Trump kuhusiana na matamshi yake dhidi ya Haiti na nchi za bara la Afrika kuwa ni nchi za uvundo// Mgogoro wa kidiplomasia baina ya Misri na Sudan umeingia katika ugomvi wa muda mrefu juu ya ujenzi wa bwawa unaofanywa na Ethiopia katika mto Nile.