Rais Mteule wa Marekani Donald Trump amefanya mkutano wa kwanza na waandishi wa habari na kuelezea masuala kadhaa juu ya mahusiano yake na Urusi/ Mkutano wa waandishi habari wa Donald Trump ulikuwa tangazo la wazi la vita dhidi ya vyombo vya habari vinavyommkosoa/ Msikilizaji nchini Kenya kumeundwa muungano mpya wa kisiasa wa upinzani utakaokabiliana na chama cha Jubilee katika uchaguzi mkuu ujao.