1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S12 Januari 2017

Baada ya mashiria ya kijasusi nchini Marekani kuwasilisha ripoti yao ya uchunguzi kwa Rais Obama pamoja na Rais MteuleTrump mvutano umeibuka kati ya Rais huyo Mteule na mashirika hayo// Magufuli ameendelea na ziara yake ya kikazi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Tanzania// Magufuli jana aliwataka raia kupuuza taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari na wanasiasa kuwa nchi hiyo inakabiliwa na njaa.

https://p.dw.com/p/2VieM