1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.12.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S11 Desemba 2017

Rais Vladmir Putin wa Urusi yuko Misri ambako ameshakutana na mwenyeji wake rais Abdel Fatah el Sisi na kuzungumzia juu ya nchi hizo mbili kutanua ushirikiano zaid// Hafla ya maombolezi kuiaga miili ya wanajeshi Tanzania waliouawa katika shambulio la waasi wa Uganda ADF katika eneo la Semuliki wilayani Beni desemba saba, zimefanyika mjini Beni leo.

https://p.dw.com/p/2pAOQ