Sera za kibiashara za Rais mteule wa Marekani Donald Trump zinatarajiwa kusababisha athari kubwa katika ulimwengu wa kiuchumi na kibaishara// Ukame unaendelea kuwapa changamoto nyingi wafugaji wa nchini Tanzania// Katika ulimwengu wa chini kwa chini kundi la wadukuzi kutoka nchini Urusi linaendeleza ulaghai na wizi kupitia mtandaoni.