1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.10.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S11 Oktoba 2017

Muungano Mkuu wa Upinzani nchini Kenya-NASA umefanya maandamano kote nchini na kusema kuwa maandamano hayo yatakuwa yakifanyika kila siku hadi matakwa yao ya kufanyika kwa marekebisho kwenye Tume ya Uchaguzi yazingatiwe// Hali ya kisiasa nchini Kenya kwa sasa imegubikwa na maswali mengi.

https://p.dw.com/p/2lf34