Nchini Kenya, tume ya uchaguzi na mipaka, IEBC bado haijatangaza matokeo rasmi ya uchaguzi wa urais// Kundi linalojiita Dola la Kiislamu linaendelea kuhimiza na kuwezesha mashambulizi duniani kando na kutoa misaada ya kifedha kwa wafuasi wao// Kiongozi wa Korea ya Kaskazini ana mkakati anaoufuata bila ya hofu yoyote.