1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.06.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S11 Juni 2018

Dunia yasubiri kwa hamu mkutano wa Trump na Kim/ Italia, Malta zaizuia meli ya wahamiaji kutia nanga/ Uganda: Mauaji ya kikatili ya mbunge wa manispaa ya Arua yameendelea kuzusha mshtuko na mjadala kuhusu hali ya usalama nchini humo/ Tanzania: Mamlaka ya mawasiliano imeanza kufunga mitandao ya kijamii na ambayo imeshindwa kufuata utaratibu/Mkutano wa Jukwaa la vyombo vya habari DW waanza Bonn

https://p.dw.com/p/2zHG9