1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.05.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S11 Mei 2018

Iwapo Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa sahihi katika kuchukua maamuzi ya kuindoa Marekani kwenye makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran yaliyofikiwa mwaka 2015// Ripoti mpya iliyotolewa na Taasisi ya Oakland mjini Carlifonia nchini Marekani inafichua jinsi kampuni zinazoratibu safari za watalii zinavyotumia machafuko na vitisho kudhibiti ardhi nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/2xWAM