1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.05.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S11 Mei 2017

Rais wa Somalia hii leo ameyaomba mataifa yaliyo na nguvu kumsaidia katika kupambana na ugaidi// Nchini Kenya wananchi wanasubiri kwa hamu kuiona bajeti ya dharura inayokusudia kupunguza ukali wa hali ya maisha iliyosababishwa na mfumko mkubwa wa bei muhimu za bidhaa.

https://p.dw.com/p/2covC