1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.03.2017 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

V2 / S12S11 Machi 2017

Dunia inakabiliwa na janga kubwa kabisa la kibinaadamu ambalo halijawahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa 1945,Rais Trump kukutana na Kansela Merkel Jumanne na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aomba usaidizi wa polisi kwa ajili ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

https://p.dw.com/p/2Z0wn