Rais Barack Obama amewaaga Wamarekani na ulimwengu mzima kwa mara ya mwisho akiwa kama rais// Serikali ya Kenya leo imetoa taarifa ya kutisha kuhusu idadi ya makundi ya vijana wanaopewa silaha kwa lengo la kuvuruga amani wakati nchi hiyo inapojiandaa kwa uchaguzi mkuu.