Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amewasili Niger, kituo cha pili cha ziara yake ya siku tatu barani Afrika// Serikali a Ethiopia imeshutumu kuwepo kwa nguvu kutoka nje zinazoongeza fukuto la maandamano katika mkoa wa Oromia// Ufaransa inataka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, kuchunguza mashambulizi yanayofanywa katika mji wa Aleppo nchini Syria.