Upinzani mkuu nchini Kenya unaishinikiza tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza mgombea wao Raila Odinga kuwa mshindi wa kinyang’anyiro cha urais. NASA inashikilia Raila anaongoza kulingana na matokeo ya muda// Kenya-Wagombea wa Urais wameanza kukubali kushindwa katika mbio za kuwania uraisi licha ya kwamba upande wa upinzani wanayapinga wakidai kumekuwepo na udanganyifu.