Msikilizaji dunia yetu leo asubuhi inaanzia huko Kenya ambako matokeo ya uchaguzi wa rais yalizusha mabishano// Na wakati huo huo, Sekione Kitojo anazungumza na mwenzetu aliyopo katika kituo kikuu cha ukusanyaji na utangazaji wa matokeo katika ukumbi wa Bomas of Kenya mjini Nairobi kujua hasa kinachojiri kwa wakati huu.