Polisi nchini Ujerumani wamemkamata mtu mmoja anayeaminika kuwa na matatizo ya kiakili aliyewashambulia na kuwajeruhi watu saba katika kituo cha treni cha Düsseldorf usiku wa Alhamis// Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamemchaguwa tena Donald Tusk kuwa rais wa Umoja huo// Mahakama ya kikatiba ya Korea Kusini imetoa uamuzi wa kuufikisha mwisho utawala wa Rais Park Geun hye.