1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.02.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S10 Februari 2017

Mahakama ya rufaa ya shirikisho nchini Marekani imekataa kuidhinisha marufuku ya kusafiri ambayo ni amri iliyotolewa na Rais Donald Trump// Wakati wanasiasa wakiwasilisha "Hatua za Mpango fulani" na pia zikitajwa kuwa ni "jitihada za kitaifa", basi ujue kuna jambo// Bunge la Afrika Kusini jana liligubikwa na mapambano ya kupigana miereka na ngumi.

https://p.dw.com/p/2XKE8