Vikosi vya serikali ya Iraq vimefanikiwa kuingia katika mikoa ya kusini mashariki ya Mosul// Hatua ya Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kufanya mageuzi makubwa kwenye uongozi wa jeshi la nchi hiyo, imepokelewa kwa maoni tofauti tofauti na wanasiasa// Nchini Tanzania, watu 12 wamekufa baada ya mashua moja kuzama maji mapema leo.