Tanzania- John Magufuli leo ameongoza maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Tanganyika, sasa inayojulikana kama Tanzania Bara// Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi wake kuhusu hatima ya maelfu ya wakaazi waliokwama mashariki ya Aleppo// Baada ya kujaribu kuwania urais mara mbili katika uchaguzi nchini Ghana, Nana Akufo-Addo anaonekana kuongoza katika uchaguzi wa urais.