1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.11.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S9 Novemba 2017

Marais wa Tanzania na Uganda hii leo wamerejelea azma yao ya kuboresha zaidi ushirikiano kati ya nchi hizo mbili// Lebanon inaamini kuwa Saad al-Hariri aliyejiuzulu kama waziri mkuu Jumamosi iliyopita akiwa saudi Arabia anashikiliwa Saudi Arabia// Tume za uchaguzi barani Afrika zimesema kwamba zinakabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

https://p.dw.com/p/2nMwd