1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.11.2016 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S9 Novemba 2016

Donald Trump achaguliwa kuwa Rais wa Marekani// Wataalamu wa maswala ya ulinzi wamesema kwamba kundi la wapiganaji wanaojiita dola la Kiislamu IS linaendelea kupoteza umaarufu// Licha ya kwamba mitandao ya kijamii ni njia rahisi ya kujitangaza kibiashara na pia kusaka fursa kwa vijana, lakini mitandao hii ina gharama zake.

https://p.dw.com/p/2SORj