Matangazo maalum ya uchaguzi wa Kenya: Muungano wa upinzani NASA wapinga matokeo yanayotolewa na tume ya uchaguzi IEBC yanayomweka Uhuru Kenyatta mbele ya kiongozi wake Raila Odinga/ Kwa mara ya kwanza Kenya imefanyikiwa kupata magavana wa kike/ Tunaviangazia vyombo vya habari vinavyotoa mchango wake katika uchaguzi huo/ Trump aionya Korea Kaskazini kwa mara nyingine