Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Syria Staffan de Mistura, amesema anakusudia kuanzisha duru nyingine ya mazungumzo kati ya serikali ya Rais Bashar al-Assad na upinzani tarehe 23 mwezi huu wa Machi mjini Geneva// Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo mjini Brussels katika mkutano wa kilele uliogubikwa na ajenda kadhaa ikiwemo suala la uchaguzi wa Rais wa Baraza la Ulaya.