Kansela Angela Merkel wa Ujerumani alikuwa akiona kuwa ni jambo la kawaida kwake kukamata hatamu za uongozi barani Ulaya// Ghadhabu kutokana na ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira na kukatwa kwa malipo ya kila mwezi kwa walio na mapato ya chini yamechochea pakubwa katika kuzuka kwa maandamano nchini Iran.