1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S8 Desemba 2016

Urusi- Sergei Ryabkov amesema kuwa Urusi inakaribia kuafikiana na Marekani kuhusiana na kusitishwa kwa vita katika mji wa Aleppo nchini Syria// Wakati Ujerumani inakamilisha mhula wake wa mwaka mmoja kama mwenyekiti wa Shirika la Usalama na Ushirikiano barani Ulaya-OSCE, Waziri wake wa Mambo ya Nje, Frank-Walater Steinmeier, ameitolea wito Urusi kushirikiana kikamilifu.

https://p.dw.com/p/2TwnW