Mgomo wa Madaktari nchini Kenya ambao umeingia siku ya nne leo hauna dalili za kusitishwa hivi karibuni// Mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika mzozo wa Burundi, Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa, amefanya mazungumzo na rais wa Burundi Pierre Nkurunziza mjini Bujumbura// Tume ya uchaguzi nchini Ghana itaanza kutoa matokeo ya uchaguzi wa urais na ubunge hii leo.