1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.09.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S8 Septemba 2017

Wakati jeshi la polisi nchini Tanzania likitangaza kuongeza nguvu kuwasaka watuhumiwa wa shambulizi dhidi ya mbunge wa Chadema, Tundu Lissu bado hali ya sintofahamu imeendelea kuwakumba makundi mbalimbali ya watu// (Wakati makundi ya kigaidi yakiendelea kuviumiza vichwa vya watawala duniani kote, ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeeleza chanzo cha vijana kujiunga katika makundi hayo.

https://p.dw.com/p/2jbzW