Wapalestina wenye hasira wameitisha siku ya ghadhabu leo Ijumaa wakati maandamano ya kupinga hatua ya rais wa Marekani Donald Trump kuutambua mji wa Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel yakisambaa// Mazungumzo ya Uingereza kujitoa katika Umoja Ulaya, yanatoa mwelekeo wa kuingia awamu ya pili ya mazungumzo hayo kuhusu ushirikiano wa kibiashara baina ya pande hizo mbili.